Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, June 17, 2013

JUMA FUNDI VS NASIBU RAMADHANI KUPAMBANA SIKU YA IDI PILI

Bondia Juma Fundi kushoto akitunishiana isuri na Nasibu Ramadhani wakati wa utambulisho wa mpambano wao utakaofanyika sikukuu ya Idi pili wengine kushoto ni mratibu Duni Lianjara Promota wa Mpambano huo Side Mkigoma na kocha wa Nasibu Christpher Mzazi picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
PROMOTA WA MPAMBANO WA MASUMBWI SIDE MKIGOMA KATIKATI AKIWAINUA MIKONO JUU MABONDIA JUMA FUNDI KUSHOTO NA NASSIBU RAMADHANI
Mabondia wakisaini mkataba





No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...