Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, June 27, 2013

MASHUJAA BANDI YATAMBULISHA WANENGUAJI WAPYA


    Wanenguaji wapya wa Mashujaa Band wakiwa katika picha ya pamoja wakati wakitambulishwa leo.

BENDI ya Muziki wa Dansi ya Mashujaa imezidi kujiimarisha baada ya kuwatwaa wanenguaji wapya toka nchini Kongo. Wanenguaji hao ambao wametambulishwa leo kwa waandishi wa habari wanaonekana moto wa kuotea mbali.
Mmoja wa wanamuziki hao akijitambulisha kwa wanahabari (hawapo pichani).
   
Mmoja wa wanenguaji hao akionyesha staili yake ya nywele.
   
Benny Kinyaiya (kulia) akiwa na mmoja wa wapenzi wa bendi hiyo.
Wanenguaji hao wakionyesha umahili wao wa kunengua.
Afisa habari wa Mashujaa Band, Asha Kigungula akiwa na Meneja wa bendi hiyo, Martin Sospeter.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...