Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, June 19, 2013

MASHINDANO YA TIKA CUP 2013 YAANZA KUTIMUA VUMBI JUNI 6 VIWANJA VYA SHUJAA NA KILAKALA MAKABURINI MORO.


Mshambuliaji wa timu ya soka ya kata ya Kauzeni, Juma Bangule kushoto akimiliki mpira dhidi ya mlinzi wa timu ya kata ya KongaSufian Dikongola wakati wa mashindano ya TIKA CUP 2013 katika michezo. PICHA JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
Mshambuliaji wa timu ya soka ya kata ya Kauzeni Omari Kaeza (katikati) akiwatoka wachezaji wa kata ya Kong

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...