Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, June 22, 2013

Wateja watano wajizolea Milioni 2 kila mmoja za Cheka Nao


Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu akimpigia mmoja wa washindi miongoni ya watano waliojishindia shilingi milioni mbili  kila mmoja kwenye droo kubwa ya Promosheni ya Cheka Nao,inayowezesha  wateja kuongea na mitandao yote bila mipaka kwa bei nafuu. Ili kujiunga mteja anatakiwa kupiga *149*01#.wanaoshuhudia   ni Meneja wa Idara ya Malipo ya Kabla wa kampuni hiyo, Yvonne Maruma (kati kati)pamoja na  Ofisa wa bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania Bi.Chiku Saleh.
     HAWA NDIYO WASHINDI WA PROMOSHENI YA CHEKA NAO - 21/06/2013
WAMEJINYAKULIA KITITA CHA  MILIONI TSH 2,000,000 KILA MMOJA
  



JINA
UMRI
ANAKOISHI
KAZI YAKE
Majija Amos Kidara
24
Shinyanga - Kahama
Peasant
Mkude Idd
30
Msamvu - Morogoro
Peasant
Isaya Edward Sengo
35
Mbeya
Petty Trader
Alexander Vinson
33
Mbinga - Ruvuma
Peasant
Derick Charles Cosmas
25
Karagwe - Bukoba
Peasant







No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...