Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, June 21, 2013

LUIZA MBUTU KUJA NA 'MAISHA BAADA YA NDOA'



Na Elizabeth John 
BAADA ya miaka michache kutoka na wimbo wa Kuolewa, mwanamuziki Luiza Mbutu, anatarajia kuachia single nyingine ya ‘Maisha baada ya kuolewa’.
Akizungumza na Habari Mseto, Mbutu alisema anakuja na kitu hicho baada ya kupata uzoefu wa muda sasa katika maisha ya ndoa jambo litakalomfanya kuimba jambo analolijua.

Luiza Mbutu aliolewa mwaka 2000 na kwa sasa ndiye  kiongozi wa bendi ya Twanga Pepeta huku akiwa kati ya wanamuziki waliodumu katika bendi hiyo takribani miaka 12.

mwanadada huyo ni kati ya wasanii wakongwe wa bendi hiyo tamgu kuanzishwa kwa bendi hiyo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...