Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, August 3, 2013

SIMBA YATOKA SARE NA POLISI KOMBAINI


 Mshambuliaji wa Simba, Betram Mombeki akimtoka mchezaji wa Polisi Kombaini, Magige Machango katika mchezo wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa  Polisi Kombaini, Admin Bantu akimtoka mshambuliaji wa  Simba, Abdulhalim Humud katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam

Mshambuliaji wa Simba Betram Mombeki akishangilia goli aliloifungia timu yake dhidi ya Polisi Kombaini katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1.
 Kikosi cha Simba
Kikosi cha Polisi Kombaini.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...