Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, March 29, 2013

JAHAZI WALIPOFANYA MAKAMUZI YA NGUVU DAR LIVE


Mzee Yusuf 'Mfalme' akicheza kiduku na shabiki aliyepanda jukwaani.
Shabiki huyo akiwapagawisha mashabiki sambamba na wacheza shoo wa Jahazi.
Shabiki akiwapa raha wapenzi wa burudani.
...Akizidi kuonesha machejo stejini.
Mwimbaji wa Jahazi Modern Taarab, Rahma 'Machupa' akipagawisha mashabiki waliofurika ndani ya Dar Live.
Mwimbaji wa Jahazi akiwarusha roho mashabiki.
Nyomi ikiwa imepagawa na midundo ya Jahazi ndani ya Dar Live.
---
WAPENZI wa muziki wa mwambao usiku wa kuamkia leo walipata burudani ya aina yake ndani ya Dar Live wakati kundi la Jahazi Modern Taarab chini ya Mfalme Mzee Yusuf lililopokuwa likiporomosha burudani. Katika shoo hiyo, dada mmoja ambaye hakujulikana jina lake mara moja alikuwa kivutio ukumbini hapo kwa burudani aliyoitoa sambamba na wanamuziki wa Jahazi. Pichani juu ni baadhi ya matukio yaliyochukua nafasi ndani ya ukumbi huo wa maraha uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...