Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, January 15, 2014

BREAKING NEWS.....MAGARI MAWILI YAWAKA MOTO IRINGA WAKATI WANAFUNZI WAKIJIFUNZA KUUNGA NGAO


Wananchi Iringa  mjini  wakilitazama daladala  lililowaka  moto wakati likiwa kwa mafundi kuunga likichomelewa leo eneo la uwanja wa  samora
Daladala  likiwaka  moto  huku kikosi cha zimamoto na uokoaji  wakizima moto huo
Gari la Zimamoto na uokoaji mjini Iringa likizima moto  uliokuwa ukiteketeza daladala eneo la Samora  leo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...