Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, January 29, 2014

CHOPA YA DR SLAA YAKWAMA IRINGA UWANJA WA NDEGE YAKOSA WESE (MAFUTA)


 mmoja  kati ya  Helkopta  za Chadema ikiwa  hewani
Hii  ndio  Helkopta  aliyokuwa akiitumia  katibu mkuu wa Chadema Dr Slaa katika mikutano yake nyanda za juu  kusini ikiwa  imetua katika  uwanja  wa mikutano wa Mwembetogwa na baada ya hapo  ilipelekwa  kuegeshwa  uwanja wa Ndege  Nduli  kutokana na kuishiwa  mafuta  hivyo kulazimika  baadhi ya maeneo  kushindwa kwenda kwa usafiri  huo na badala yake viongozi wake  kutumia magari .

Kuna haja  ya  kuwepo kwa  kisima cha uuzaji wa mafuta ya Ndege katika uwanja  wa Ndege Nduli Iringa ili  kuepusha usumbufu  wa Ndege kwenda  kujaza ama kununua mafuta  Dodoma

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...