Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, January 13, 2014

MTEMVU KULISAMBARATISHA KUNDI LA VIJANA WAHALIFU LA MBWA MWITU TEMEKE


 Mbunge wa Jimbo la Temeke Dar es Salaam, Abbas Mtemvu akihutubia katika mkutano wa Halmashauri Kuu ya Kata ya YOmbo Kilakala, leo, ambapo aliwaambia kuwa hatolifumbia mamcho  kulitokomeza kundi la  vijana la Mbwa Mwitu linalotishia usalama wa wananchi katika kata hiyo.Kutoka kulia mstari wa mbele ni Diwani wa Viti Maalumu, Wilaya ya Temeke, Mariam Mtemvu. Katibu wa Siasa na Uenezi Wilaya ya Temeke, Rutami  Mabunu,  Mwenyekiti wa CCM Kata ya Kilakala  na Shomari Lyoto ambaye ni Katibu wa Kata hiyo. PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Kada wa CCM, Mwishehe Kilakala akijitambulisha katika mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...