Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, January 21, 2014

MABONDIA WATWANGANA DAME GYM MANZESE


Bondia Rashidi Palasa  kushoto akijitutumua kupiga  ngumi bila mafanikio wakato wa mpambano wake na Jumanne Saleh uliofanyika jana katika ukumbi wa Ndame GYM uliopo Manzese ilimahewa Dar es salaam Saleh alishinda kwa point Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

BONDIA RASHIDI PALASA AKITAMBA JUKWAANI KWA MWNDO WA MADAHA ATA HIVYO ALOAMBULIA KIPIGO KWA POINTI

BONDIA JUMANNE SWALEH AKITANGAZWA MSINDI NA REFARII KONDO NASSORO BAADA YA KUMGALAGAZA KWA POINT RASHIDI PALASA WAKATI WA MPAMBANO WAO

Bondia Ibrahimu Tamba kushoto akipiga makonde ya nguvu kwenda kwa mpinzani wake Tyson Kushi wakati wa mpambano wao uliofanyika jana katika ukumbi wa Ndame GYM manzese Kilimahewa Dar es salaam Tamba alishinda K,O ya raundi ya kwanza Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Julius Kisarawe kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Uwesu Mtulia wakati wa mpambano wao uliofanyika jana Kisarawe alishinda kwa K,o ya raundi ya pili Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...