Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, January 29, 2014

UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM UDIWANI KATA YA NDULI IRINGA


 Mgombea udiwani  kata  ya  Nduli   jimbo la Iringa mjini  kupitia  chama cha mapinduzi (CCM) Benitho Mtove akiwatambulisha  katika uzinduzi wa kampeni juzi  waliokuwa washindani  wenzake  katika  kinyang'anyiro  cha kura  za maoni  ndani ya  CCM kabla ya  kuwashinda (picha na Francis Godwin Blog)
  Katibu  wa CCM wilaya ya  Iringa mjini na kaimu katibu wa mkoa  wa Iringa Hassan Mtenga akimwagiza mstahiki  meya  kufuatilia fedha za mfuko wa  jimbo la fedha zinazotolewa na  wafadhili kwa mbunge wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji peter Msigwa kwa ajili ya  wananchi wa  jimbo  hilo juzi (picha na Francis Godwin Blog)
 Mwenyekiti wa CCM mkoa  wa Iringa Jesca Msambatavangu  akimwombea kura  mgombea  udiwani wa CCM kata ya  Nduli Bw Benitho Mtove (hayupo pichani) juzi wakati  wa uzinduzi wa kampeni za udiwani kata ya Nduli (picha na Francis Godwin Blog)
 
Aliyekuwa  mshindi wa kura  za maoni ndani ya  CCM mwaka 2010 Frederick Mwakalebela akimwombea  kura  mgombea  udiwani wa CCM kata ya Nduli Bw Benitho Mtove  wakati wa mkutano wa  uzinduzi wa kampeni  za CCM juzi (picha na Francis Godwin
  Mbunge wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa (chadema) akimnadi mgombea wa udiwani wa Chadema kata ya Nduli Ayub Mwenda (kulia) siku ya  uzinduzi wa kampeni za Chadema kata  hiyo ya nduli katika viwanja hivyo hivyo ambavyo CCM imezindua kampeni  zake (picha na Francis Godwin Blog)


 Sehemu ya  wananchi  wa  Nduli  wakimsikiliza mbunge Mchungaji Peter Msigwa wakati wa uzinduzi huo wa kampeni za udiwani  Chadema kata ya Nduli (picha na Francis GodwinBlog)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...