Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, January 1, 2014

Samsung Tanzania yapata Ongezeko la wateja Kusajili bidhaa kwa zaidi ya 30%


Meneja Mauzo na Usambazaji wa Samsung Tanzania Bw Sylvester Manyara (kushoto) akimkabidhi funguo ya gari mshindi wa jumla wa promosheni ya Pambika na Samsung Bw. Juma Musa Ramadhani mkazi wa Tabata Segerea jijini Dar es Salaam mara wakati wa hafla ya kukabidhi rasmi zawadi hiyo ya Mitsubishi Double Cabin, tukio linaloshuhudiwa kwa ukaribu na Msimamizi muandamizi toka bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania Bw. Bakari Maggid wa kwanza kulia.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...