Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, April 18, 2013

UPDATES: PICHA ZA MSIBA WA MAREHEMU BI KIDUDE HUKO ZANZIBAR


Mtangazaji Hassan Bond, Fid Q, Diamond Platnumz na Ruge Mutahaba wakiwa msibani nyumbani kwamarehemu bi Kidude,  Zanzibar
Ruge mutahaba, Babu Tale and Guru
Hassan na Fid Q wakiwa katika picha ya pamoja na familia ya Marehemu Bi Kidude

Umati wa Watu waliofika msibani.Picha Kwa Hisani ya Bongoswag

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...