Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, June 1, 2013

Waziri mkuu Mizengo Pinda akiwa emina ya siku Mbili


 

 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimfafanulia jambo  Mkuu wa Wilaya ya Bunda Ajelina Mabula nje ya ukumbi wa Loyal Village Dodoma walipoku wakitoka Kwenye Semina ya wakuu wa mikoa, Wilaya na Wabunge kuhusu Mfumo mpya wa utoaji wa Ruzuku ya Mbolea ya mazao kwa wakulima, iliyoandaliwa na Wizara ya kilimo na Chakula.
Waziri mkuu Mizengo Pinda akitoka kufunga Semina ya siku Mbili iliyofanyika Dodoma jana iliyowahusisha Wabunge, Wakuu wa Mkoa na Wilaya wa Nchi Nzima Kuhusu Utaratibu mpya wa Utoaji wa Ruzuku ya mbolea ya mazao kwa Wakulima katikati ni Waziri wa Kilimo na Chakula Christopher Chiza Naibu Waziri wa wizara hiyo Adamu Malima na Mkuu wa Wilaya ya Bunda Anjelina Mabula
Washiriki wa Semina ya Utaratibu Mpya wa utoaji wa Ruzuku ya Mbolea Kwa wakulima iliyofanyika mjini Dodoma kwa siku mbili

PICHA NA JOHN BANDA 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...