Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, April 21, 2014

MASTA JUMANNE AWAKUMBUSHA WATU KUFANYA MAZOEZI



Na Mwandishi Wetu

MSANII Jumanne Wilsoni 'Masta Jumanne' anawashauli vijana kuja kujiunga katika mazoezi anayotoa katika ukumbi wa Ilala Sheli CCM ambapo anafundisha mchezo wa Taiching Kumfuu ambayo inawasaidfia kuwalinda mbali na kuwalinda inasaidia pia kujenga mwili kwa mazoezi

na sehemu nyingine iliyopo Ilala CCM Mchikichini 'Masta jumanne' ametoa wito kwa vijana kujitokeza kufanya mazoezi katika stail mpya alizokuja nazo toka china hivi karibuni amboyo amekuja na mbini mbalimbali za Taichi Kung-fu kwa ajili ya kufanikisha kujilinda wakati wowote kwa  watu wabaya

Masta Jumanne aliyejifunzia michezo hiyo nchini China na ni mtu wa kwanza kuingiza stail hiyo nchini kwa ajili ya kukuza vipaji vya mchezo wa Taichi Kung-fu

Ambapo alianza kufundisha mwaka 2003 katika majeshi ya Tanzania na sasa anawafundisha Raia mbalimbali kwa ajili ya kujilinda Masta jumanne ambaye anatamba na filamu ya mapigano ijulikanayo kwa jina la Malipo ni Duniani 'Amesema kuwa filamu hiyo ametoa ili kuonesha Dunia jinsi ilivyo na malipo yake ni hapa hapa Duniani

na sasa yupo mbioni kutoa filamu ya nipo trayari kufa inayotarajia kutoka mwishoni mwa mwezi uhu iliowashilikisha raia wa kichina ambayo ipo katika matasifa mawili ya Tanzania na China

Mpaka sasa ameshawafundisha vijana wengi wapatao 60 ambao wamepitia mafunzo kutoka kweke

Masta Jumanne kabla ya kwenda kujiendeleza zaidi na mafunzo ya mchezo huo katikla nchi mbalimbali alikuwa ajifunza nchini Zambia kabla ajaenda china kukamilisha mafunzo yake ya ufundishaji

Ametoa wito kwa watu mbalimbali kujitokeza katika mafunzo yake kwa kuwa wengi aliowafundisha wamepata mafanikio mbalimbali kupitia kwake ikiwemo kupata ajira katika makampuni mbalimbali ya ulizi na usimamizi wa shunghuli mbali mbali za kitaifa

KWA WANAOTAKA KUJINGA NAS MAFUNZO HAYA WAWASILIANE MOJA KWA MOJA NA MASTA JUMANNE SIMU NAMBA 0713938461
KWANI MAZOEZI UONDOA PRESHA,KISUKALI,KUPUNGUZA UNENE,KUPOOZA,MATATIZO YA VIUNGO, SASA WANAPATIKANA KATIKA JENGO LA CCM ILALA SHELI GHOROFA YA KWANZA

--
Super D Boxing Coach
Email.superdboxingcoach@gmail.com
www.burudan.blogspot.com
www.superdboxingcoach.blogspot.com
 Mob;+255787 406938
        +255774406938
        Po.Box. 15493
Dar es Salaam Tanzania

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...