Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, November 12, 2012

MANATSA NDIE BINGWA WA MICHUANI YA JOHNNIE WALKER WAITARA 2012


Mshindi wa jumla wa mashindano ya kuwania kombe la Johnnie Walker Waitara 2012 Sudson Manatsa akinyanyua juu vikombe vyake viwili alivyoshinda wakati wa Mashindano hayo yaliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Gofu Lugalo jijini Dar es Salaam. Mashindano hayo yalidhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kupitia kinywaji chake kikali cha Johnnie Walker.
Mgeni rasimi wa Mashindano ya Johnnie Walker Waitara Trophy,  Mlezi wa Gofu nchini Kenya na Mkurugenzi wa ICEA LION, Dunkan Nderitu Ndengwa kutoka nchini Kenya  akimkabidhi zawadi Mshindi wa jumla wa mashindano ya kuwania kombe la Johnnie Walker Waitara 2012 Sudson Manatsa. Kampuni ya Bia ya Serengeti imedhamini mashindano hayo kupitia kinywaji chake cha Johnnie Walker.

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Stephen Gannon  akimkabidhi zawadi Mshindi wa pili wa  daraja A, Aidan Nziku  kikombe na zawadi nyingine baada ya kuibuka mshindi wa kundi hilo katika mashindano ya kuwania kombe la Johnnie Walker Waitara 2012. Kampuni ya Bia ya Serengeti imedhamini mashindano hayo kupitia kinywaji chake cha Johnnie Walker.

2 comments:

  1. Thanks foг one's marvelous posting! I definitely enjoyed reading it, you might be a great author.I will be sure to bookmark your blog and definitely will come back very soon. I want to encourage you to ultimately continue your great posts, have a nice holiday weekend!wedding
    Here is my homepage : Same Day Edit

    ReplyDelete
  2. Wow, amazing blοg layout! Нow long have you been blogging for?
    you mаke blogging look easy. The oνerall look of your ωebsite is great, let alone
    thе cοntent!Watch Flashpoint Season 5 Episode 10 Online
    My web page ; Flashpoint Season 5 Episode 10 Free Stream

    ReplyDelete

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...