Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, November 12, 2012

TIGO YAWA YA KWANZA KUTOA VIFAAVYA NISHATI YA JUA KWA AJILI YA KUCHAJIA SIMU

Ofisa masoko wa kampuni ya Tigo Jacqreliane Nnunduma kushoto  na Meneja Mradi wa Kampuni hiyo Yaya N'dojere wakionesha kifaa cha sora kinavyoweza kufanya kazi ya kuchajishia simu kwa njia ya nishati ya jua

Ofisa masoko wa kampuni ya Tigo Jacqreliane Nnunduma kushoto akionesha jinsi ya kifaa cha sora kinavyoweza kufanya kazi kulia ni Meneja Mradi wa Kampuni hiyo Yaya N'dojere
Ofisa masoko wa kampuni ya Tigo Jacqreliane Nnunduma kushoto  na Meneja Mradi wa Kampuni hiyo Yaya N'dojere pamoja na Ofisa husiano Msaidizi Mariamu Mrangwa wakionesha kifaa cha sora kinavyoweza kufanya kazi ya kuchajishia simu kwa njia ya nishati ya jua


Ofisa masoko wa kampuni ya Tigo Jacqreliane Nnunduma kushoto akionesha jinsi ya kifaa cha sora kinavyoweza kufanya kazi kulia ni Meneja Mradi wa Kampuni hiyo Yaya N'dojere

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...