Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, November 29, 2012

SOKO LA BUGURUNI RELINI YAENDELEA KUKUA KWA KASI


Hili ni moja ya soko linaloshamili kwa kazi sana jiji Dar es Salaam (lipo Buguruni relini) japo serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imelifumbia macho si salama kwa afya za binadamu na usalama kwa ujumla. Napenda kusema kuwa watendaji wetu wameshindwa kukomesha na kuliondoa kabisa mambo mbali mbali yanayoendelea kinyume cha sheria. ANGALIZO: Mamlaka muhimu ni vyema ikachukua sheria muhimu kuzuia hali hii inayotokea ili kuepusha majanga yanayotokea mbeleni.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...