Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, April 3, 2013

Msanii Shilole,Hellen Kazimoto wazua jambo jijini Mwanza kwa kuwamwagia radhi Wazungu



Vijana wa Skylight Band Kutoka kushoto ni Sam Mapenzi, Joniko Flower na Sony Masamba wakijitambulisha kwa mashabiki wa Band hiyo kwa staili ya aina yake jijini Mwanza katika ukumbi wa Villa Park Resort Jumatatu ya Pasaka
Aneth Kushaba AK 47 , Sam Mapenzi na Mary Lukas wakitoa burudani kwa wazi wa Mwanza.
Mary Lukas, Sony Masamba na Aneth Kushaba AK 47 wakitoa burudani kwa wakazi wa Mwanza.
Mashabiki wakicheza huku wakichukua picha za ukumbusho.
Dr. Sebastian Ndege akimtunza mijihela Sony Masamba.
Kikosi kazi cha Skylight Band kikicheza Sebene.
Nyomi la wakazi wa Mwanza ambao ni mashabiki wa Skylight Band wakijimwaga ndani ya Villa Park Resort.
Kwaito ilihusika pia.
Aneth Kushaba AK 47 akicheza na shabiki wake jukwaani.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...