Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, November 8, 2012

TANZANIA NA ZAMBIA SASA KUPAMBANA KWENYE MASUMBWI


WAPENZI WA MCHEZO WA MASUMBWI MNATAHALIFIWA KUWA KUTAKUWA NA MCHEZO WA NGUMI WA KIMATAIFA KATI YA ZAMBIA NA TIMU YA TAIFA YA BOXING YA TANZANIA LITAKALOFANYIKA JUMAMOSI YA TAREHE 10,11,2010 KATIKA UKUMBI WA DDC KARIAKOO KUANZIA SAA KUMI KAMILI  NJOO UBURUDIKE NA NGUMI SAFI KUTOKA KATIKA MATAIFA MAWILI TOFAUTI MPAMBAO WA KIRAFIKI WA KIMATAIFA KINGILIO MLANGONI ITAKUWA NI 5000 KWA KILA MTU MPAMBANO SI WAKUKOSA KWANI UMEANDALIWA VEMA NA ULIKUWA UKISUBILIWA KWA HAMU HIVYO SHIME WATANZANIA KUJITOKEZA KUIPA SAPOTI TIMU YA NGUMI KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE KUHAKIKISHA  MABONDIA WA TANZANIA WANAFANYA VIZURI KWA KUJA KUTOA MCHANGO WAKO WA KUJA KUWASHANGILIA MGENI RASMI SIKU HIYO NI MBUNGE WA KINONDONI IDDI AZANI AMBAYE KWA SASA YUPO BEGA KWA BEGA NA TIMU HIYO KUAKIKISHA INAFANYA VIZURI  KATIKA MCHEZO WA NDONDI MASUMBWI MAWE
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Super D, alisema katika mpambano huo atasambaza DVD zake mpya tofauti na kanda yake ya awali iliyokwenda kwa SUPER D BOXING COACH, DVD za sasa zimeandaliwa kisasa na zikiwa na mchanganyiko wa ‘clips’ za michezo ya nyota wa Dunia katika kuwafunza watu namna ya kupigana ngumi.Super D, alisema mbali na michezo ya nyota hao wa Dunia akiwemo Manny Pacquio, Floyd Maywether, Roy Jones na wakali wengine DVD hizo zina michezo
ya tamasha lao la ngumi wanaloendesha kwa kushirikiana na kocha mkongwe Habibi Kinyogoli.”katika muendelezo wa kuwafunza watu ngumi kwa njia rahisi, nimetoa dvd pamoja na CD nyingine tofauti zilizokusanya michezo ya mabingwa wa dunia na mafunzo ya ngumi tunayoendesha kupitia tamasha letu na Kinyogoli Foundition ” alisema. Super D ambae ni kocha wa timu ya ngumi ya Ashanti pamoja na timu ya mkoa wa Ilala kimichezo alisema anamini kupitia njia  hii watu wengi wenye kupenda kujifunza mchezo wa ngumi kwa kuangalia mbinu na ufundi katika mchezo huo kupitia michezo ya mabondia waliopo kwenye dvd hizo. 

Aliongeza kuwa, mbali na dvd hizo bado wanaitajika vijana wenye vipaji kujitokeza kuja kushiriki katika mazoezi ya ngumi ili wajiunge na wenzao wa
timu ya Ashanti na Amana kujifunza ‘live’ chini ya makocha Habibu Kinyogoli, Kondo Nassoro, na yeye mwenyewe Super D na wengine wanaowanoa vijana
mbalimbali
 


 DVD YA MANNY PAQUAIO ALIYOPIGWA KIUTATA IPO INAPATIKANA
  1. DVD YA FLOYD MAYWEATHE MPAMBANO WAKE WA MWISHO KABLA YA KWENDA JELA NAYO INAPATIKANA KWA MAELEZO ZAIDI PIGA NAMBA 0713 406938,0787 406938,0754 406938 NA 0774 406938 AU FIKA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI ULIZA SUPER D AU FIKA KLABU YA ASHANTI ILALA AU AMANA

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...