Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, February 1, 2014

Shi....Shilole achia ngoma mpya iitwayo Chuna Buzi


Shilole
BAADA ya kutamba na kibao chake cha 'Nakomaa na Jiji', msanii Zuwena Mohammed 'Shilole' ameachia kazi mpya iitwayo 'Chuna Buzi' na kuwataka mashabiki wake kumuunga mkono kama walivyofanya katika kazi zake za nyuma kuanzia 'Lawama', 'Dume Dada' hadi 'Paka la Baa'.
Wimbo ni utunzi wa Barnaba Boy ambaye ameutendea haki kwa kum back-up mkali huyo anayekimbiza katika filamu pia.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...