Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, February 19, 2014

PANDU AMIR KIFICHO AIBUKA KIDEDEA MWENYEKITI WA MUDA WA BUNGE MAALUMU LA KATIBA


Spika wa Bunge la Wawakilishi Zanzibar, na Mbunge wa Bunge maalum la Katiba, Pandu Amir Kificho (Pichani kushoto) akisalimiana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati walipokutana katika sherehe za Muungano mjini Zanzibar hivi karibuni. 
Kificho ameibuka kidedea kwa kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, baada ya kuwamwaga wapinzani wake kwa jumla ya kura 393, huku wapinzani wake Magdalena Rwebangira na Mahalu, wakifungana kwa kupata kura 84 kila mmoja.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...