Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, February 13, 2014

News Alert! Imamu-Arusha amwagiwa 'tindikali'


IMAMU wa Msikiti wa Sawiyatu Qadiria, Hassan Bashir, akiwa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru, baada ya kumwagiwa inayodaiwa kuwa ni tindikali jana na mtu asiyefahamika baada ya mtu huyo kumwita kwa jina anayedaiwa alikuwa amevalia koti na kanzu. Inaelezwa wakati Imamu huyo anageuka ghafla ndipo alipomwagia bahati nzuri ilimpata tutawaletea habari baadae 

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...