Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, November 29, 2012

RAIS WA ZANZUBAR DK.ALI MOHAMED SHEIN AREJEA NCHINI AKITOKEA VIETNAM ALIKOKUWA KWA ZIARA YA KISERIKALI..


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akivalishwa Shada la mauwa alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume wa Zanzibar,akirejea Nchini kutoka ziara ya Kiserikali nchini Vietnam.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akiwasalimia Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi,wakati wa mapokezi alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume wa Zanzibar,akirejea Nchini kutoka ziara ya Kiserikali nchini Vietnam.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akizungumza na Waandishi wa Habari wa Vyombo mbali mbali nchini alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume wa Zanzibar,akirejea Nchini kutoka ziara ya Kiserikali nchini Vietnam.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...