Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, January 8, 2013

SUGU AFUNGUA INTERNATE CAFE YA IZZO B MJINI MBEYA


Mbunge wa Mbeya mjini Mh Joseph Mbilinyi (Sugu) ndiye aliye fanya ufunguzi wa biashara mpya ya msanii Izzo B "INTERNETE CAFE" iliyoko katika chuo cha Teku jijini Mbeya.
Huu utakua ni uwekezaji wa pili wa msanii Izzo B baada ya kufungua duka la nguo hapo mjini mbeya ambapo ndipo anapotoka.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...