Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, July 13, 2012

Ndovu wala raha na wadau katika muonekano mpya

Meneja wa Bia ya Ndovu special Malt Pamela Kikuli akizungumza na wadau mbalimbali waliofika kushuhudia uzinduzi wa muonekano mpya wa bia hiyo katika Hotel ya Serena jijini Dar Es Salaam-Kushoto na kulia ni miongoni mwa wadau wa bia hiyo nchini
Wadau mbalimbali na baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda cha bia nchini Tlb wakitaza sehemu ya mabadiliko ya Bia ya Ndovu kwenye uzinduzi muonekano mpya wa bia hiyo katika Hotel ya Serena jijini Dar Es Salaam ambapo bia hiyo iliweza kutambulisha mabadiliko yaliyofanyika kwenye muonekano wake huku ladha yake ikibakia kuwa ileile.Mabadiliko hayo yalifanyika baada ya Ndovu kushinda Medali ya Pili ya juu kabisa ya Ubora duniani ya Grand Gold Quality Medal ya Monder Selection.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...