Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, August 2, 2012

BANDI YA MUZIKI YA K-MONDO OUND YARUDI KWENYE ANGA ZA BURUDANI MASHABIKI MKAO WA KULA.


Wanamuziki wa bendi ya K-mondo Sound,wakiburudisha jijini Dar es Salaam, mara baada ya kuitambulisha bendi hiyo mbele ya waandishi wa habari, huku ikiwa na ujio mpya na ladha mpya za burudani kwa wapenzi wa muziki wa Dansi nchini.
Hivi ni vionjo kwa uchache tu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...