Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, August 12, 2012

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi ombeni Sefue afuturu na Viongozi waandimizi serikalini pamojana marais Wastaafu


Rais Mstaafu awamu ya Pili Ali Hassan Mwinyi akisisitiza jambo wakati alipokuwa katika mazungumzo na viongozi mbali mbali akiwemo Rais Mstaafu awamu ya Tatu Mhe. Benjamim William Mkapa (kushoto), Jaji Mkuu Othman Chande (wapili kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Sadik Meck Sadik (watatu kushoto) pamoja na Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue jana jioni wakati wa futari iliyoandaliwa nyumbani kwa Balozi Sefue jijini Dar es Salaam kwa ajili ya viongozi mbalimbali serikalini. (Picha na Freddy Maro).

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...