Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, August 5, 2012

MAMA KARUME AWAAPISHA VIONGOZI WAPYA YANGA



Tunatakiwa kushikamana na kuwa wamoja. Ndivyo alivyosema Mama Karume wakati akizungumza na viongozi wapya wa Yanga kabla ya kuwaapisha.


Mama Fatume Karume akiteta jambo na Katibu Mkuu wa Yanga, Celestine Mwesigwa huku Mzee Jabir Katundu akiwasikiliza.

Mzee Jabir Katundu akimuongoza Mussa Katabalo kula kiapo cha uaminifu cha kuitumikia Yanga

Yussuf Manji akila kiapo akiongozwa na Mzee Jabir Katundu

Mama Fatuma Karume akimpongeza Manji baada ya kula kiapo


Mama Karume akiwa na viongozi wapya wa Yanga baada ya kuapishwa


Kijana mi nakwenda, kazi kwako, sitaki kusikia mambo yanakwenda mrama. Ndivyo Mama Karume alivyokuwa akimueleza Manji wakati wakiagana. (Picha zote na Emmanuel Ndege wa blogu ya liwazozito)

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...