Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, August 15, 2012

NMB YAKABIDHI MADAWATI NA VITI SHULE YA SEKONDARI SUNVE


Meneja wa NMB Kanda ya Ziwa, Straton Chilongola (kushoto) akipeana mkono na Mbunge wa Sunve, Richard Ndassa baada ya kukabidhi msaada wa madawati na viti vyenye thamani ya sh. milioni 5 kwa ajili ya Shule ya Sekondari ya Sunve. Katikati anayeshuhudia ni Mkuu wa Shule ya Sekondari Sunve, Edna Kingu. Hafla hiyo ilifanyika wilayani Kwimba, Mwanza

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...