Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, August 10, 2012

PAPA MSOFE AFIKISHWA KORTINI KWA MAUAJI


 Mfanyabiashara maarufu, jijini Dar es Salaam, Marijani Msofe 'Papa Msofe', akiongozwa na Askari Polisi na Magereza kuingia kwenye chumba cha Mahakama ya Kisutu kwa ajili ya kusomewa shitaka la mauaji ya Onesphory Kitoli, mahakamani hapo leo
 Mfanyabiashara maarufu, jijini Dar es Salaam, Marijani Msofe 'Papa Msofe', akiongozwa na Askari Polisi na Magereza kuingia kwenye chumba cha Mahakama ya Kisutu kwa ajili ya kusomewa shitaka la mauaji ya Onesphory Kitoli, mahakamani hapo
Papa Msofe akiandikishwa jina lake na Polisi

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...