Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, June 3, 2013

KING CLASS MAWE ALIVYO MTWANGA AMOSI MWAMAKULA


Bondia Amos Mwamakula kushoto, Ibrahimu Class 'King Class Mawe' na Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D Super Coach' wakiwa na furaha baada ya kumtwanga Amos
Kocha wa Kipamaifa wa Mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D Super Coach' akimwinua juu juu bondia Ibrahimu Class' King Class Mawe' baada ya kumtwanga bondia Amos Mwamakula kwa pointi ilikuwa mei mosi 2013 katika ukumbi wa PTA Sabasaba Dar es salaam
Bilali ngonyani, Ibrahimu Class pamoja na Super D Super Coach

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...