Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, June 14, 2013

POST ZA MWISHO ZA FACEBOOK NA TWITTER NA VIDEO YA MWISHO YA MAREHEMU LANGA KILEO


 
Ikiwa ni siku chache baada ya kuondokewa na mpendwa wetu Albert Mangwea, tasinia ya Muziki wa kizazi kipya imepata pigo jingine  kubwa kwa kuondokewa na msanii wa Hip Hop anaejulikana kwa jina la Langa Kileo.
 Langa  amefariki dunia  akiwa  katika  hospitali ya  Taifa  ya  Muhimbili  baada ya  kulazwa  jana  akisumbuliwa  na  malaria  kali
Zifuatazo  ni post za mwisho za facebook na twitter pamoja na video yake mpya ya marehemu Langa 
FACEBOOK:

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...