Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, December 30, 2010

WAMAMA WAJASILIAMALI WAMKUNJA NJEMBA NA KUMFIKISHA KITUONI





Kina Mama wajasiliamali wa kariakoo. Dar es salaam ambao awajajulikana majina yao wakiwa wamemkunja kwa ajili ya kumfikisha kituo cha polisi msimbazi mtu ambaye alitaka kuwataperi mali yenye thamani ya milioni kumi dukani kwao mtaa wa tandamti Dar es salaam jana

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...