Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, October 21, 2014

MABONDIA WALIVYO CHAPANA KIN'GONGO KIMARA



 Bondia Stevin Kobelo kushoto akioneshana umwamba na Ally Jaka wakati wa mpambano wao uliofanyika kimara king'ongo Dar es salaam mwishoni mwa wiki iliyopita Kobelo alishinda kwa K,O ya raundi ya pili picha na SUPER D BLOG
 Bondia Julius Kisalawe kushoto akipambana na Issa Mangweni wakati wa mpambano wao Kisalawe alishinda kwa K,O ya raundi ya pili picha na SUPER D BLOG
Bondia Azizi Abdallah kulia akipokea DVD ya mafunzo ya mchezo wa ngumi kutoka kwa Katibu wa Afya na mazingira katika kata ya kin'gongo Yusuph Malipula picha na SUPER D BLOG

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...