Tukio hilo lililoshuhudiwa na mwanahabari
wetu lilijiri kwenye Kanisa Kuu la Mtakatifu Patriki mjini hapa,
mwishoni mwa wiki iliyopita, wakati wa kuaga mwili wa msanii mwenzake,
Shirley Edward almaarufu Sherry Magali.
Awali, kabla ya zoezi la kuaga mwili wa
marehemu, Jasmini, akiwa benchi la mwisho nyuma sambamba na wasanii
wenzake akiwemo Asha Boko na mke wa Mzee Majuto, Rehema Majuto,
alionekana mwenye simanzi kupita kiasi.
Ulipofika muda wa kuaga, Jasmini
alipomaliza kulizunguka jeneza lililobeba mwili wa Sherry mbele ya
madhabahu, alianguka na kuanza kurusha mateke kama punda huku
akizungumza maneno yasiyoeleweka.
Baada ya kuona hivyo, baadhi ya wasanii wa
Bongo Movies mjini hapa wakiongozwa na Chediel
No comments:
Post a Comment