Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Thursday, December 25, 2014

KAMPUNI YA MEGATRADE INVESTMENT LIMITED YATOA ZAWADI YA XMAS NA MWAKA MPYA KWA WATOTO YATIMA

  Msimamizi mkuu wa mauzo wa kanda ya pwani wa kampuni ta Megatrade, Albert Kingu kushoto akitoa zawadi ya vyakula kwa ajili ya sikukuu ya xmas na mwaka mpya kwa mtoto Miraji Ally anaeishi katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Maunga Center kilichopo Kinondoni hananasif wengine ni Subira Ally na Hadija Mauinga mlezi wa kituo hicho
 Msimamizi mkuu wa mauzo wa kanda ya pwani wa kampuni ta Megatrade, Albert Kingu kushoto akitoa zawadi ya vyakula kwa ajili ya sikukuu ya xmas na mwaka mpya kwa mtoto Subira Ally  anaeishi katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Maunga Center kilichopo Kinondoni hananasif wengine  Hadija Maunga mlezi wa kituo hicho na mtoto
Miraji Ally
Msimamizi mkuu wa mauzo wa kanda ya pwani wa kampuni ta Megatrade, Albert Kingu akiwa katika picha ya pamoja na watoto wanaoishi katika kituo hicho

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...