Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, July 8, 2012

WANAMICHEZO WA TANZANIA WANAOKWENDA KUSHIRIKI MICHEZO YA OLYMPIC WAKABIDHIWA BENDERA KUIWAKILISHA NCHI UINGEREZA JULAI 27



Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Amos Makala, akimkabidhi Bendera ya Tanzania Samson Ramadhani, kwa niaba ya wenzake (pichani) wanamichezo wanaokwenda kushiriki mashindano ya Olympic nchini Uingereza inayotarajia kuanza Julai 27 mwaka huu. Kulia ni Meneja Mkazi wa Coca Cola , Demeji Olamiyani 
Naibu Waziri wa Habari, Vijana na Michezo, Amos Makala, akiwa katika picha ya pamoja na wanamichezo hao, baada ya kuwakabidhi Bendera ya Tanzania.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...