Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, August 1, 2012

EPIQ BONGO STAR SERCH NDANI YA DAR SASA, Vijana wafurika Coco beach. Mistari ni mirefu sana usaili kuendelea kesho.

Jaji wa Shindano hilo Salama Jabir akiwasikiliza washiriki kwa makini.

Vijana wa jijini Dar es Salaam wakiwa kwenye foleni ya kusubiri kwenda kufanya usaili ili kushiriki shindano la Epiq Bongo Star Serch jijini humo leo.



Mtangazaji wa Televishen CAESAR DANIEL , LEON COETZER na SWEDE  wa Bench Mack  Productions wakiwahoji washiriki hao.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...