Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, August 1, 2012

OPERESHENI YA TANESCO YAFIKA ENEO LA KARAKATA UKONGA SASA.


Fundi wa Shirika la Umeme Tanesco Deo Chitamu akikata Umeme kwenye moja ya nyumba eneo la Karakata Ukonga jijijnini Dar es Salaam kwenye zoezi la kukamata wezi wa umeme na kukata umeme kwa wadaiwa sugu linaloendelea kwenye kanda ya Tanesco Ilala ambapo zoezi hilo sasa linaendelea hapa.
Deo Chitamu akikata nyaya hizo.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...