Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, August 14, 2012

MAMA SALMA KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA CHANJO




Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifungua rasmi mkutano wa wadau wa chanjo wa uraghibishi kuhusu uanzishaji wa chanjo mbili mpya za kukinga magonjwa ya nimonia na kuhara kwa watoto. Mkutano huo ulifanyika katika hoteli ya Serena,jijini Dar es Salaam tarehe 14.8.2012. Taasisi ya WAMA hujishughulisha pia na masuala ya afya ya mama na mtoto. PICHA NA JOHN LUKUWI

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...