Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, August 8, 2012

Mamia washiriki Mbio za Baiskeli za Safari Lager Kanda ya Ziwa


 Baadhi ya washiriki wa mashindano ya Safari Baiskeli Kanda ya Ziwa, wakijiandaa kuondoka kwenda Kahama na kurudi katika Uwanja wa Kambarage ikiwa ni maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima Nane Nane inayoadhimishwa leo nchini kote.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...