Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, August 1, 2012

Rotary Club ya Dar es Salaam yaipiga jeki CCBRT


Rais wa Rotary Club ya Dar es Salaam  Bw. Vinay Choudary ( kushoto)
akikabidhi mfano wa hundi ya kiasi cha dola 10,000 kwa Mkuu wa
hosipitali ya CCBRT Bw, Erwin Telemans ambapo msaada huo ni kwaajili
ya kusaidia kununua vifaa vya viungo bandia katika hosipitali ya CCBRT
iliyopo jijini Dar es Salaam makabidiano hayo yamefanyika leo katika
hosipitali hiyo.
Meneja Kitengo cha Viungo bandia Bw, Maunice Rondo kulia akifafanua
mbele ya wadau wa Rotary Club ya Dar es Salaam namna ya mguu wa Bandia
unavyotengenezwa na kutumia.

Kiongozi Mkuu wa CCBRT Erwin Telemans wakwanza kulia akisisitiza
jambo mbele ya viongozi wa Rotary Club ya Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...