Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, September 19, 2012

SUPER D ASIKITIKA MASHINDANO YA NGUMI TAIFA KUKOSA WAFADHILI

 Super D Super coach Rajabu Mhamila (wa pili kushoto) na kikosi chake cha mkoa wa Ilala
 
KOCHA wa timu ya Ashanti na timu ya Mkoa wa ILala Kimichezo Rajabu Mhamila 'Super D' (pichani) amesikitishwa na kitendo cha mashindano ya taifa kutokuwa ata na mzamini mmoja ambapo mashindano hayo ndio dira ya maendeleo ya mchezo huo hapa Tanzania.
Akizungumza kwa uchungu wakati wa mashindano hayo yanayoshilikisha mikoa 18 iliyoanza siku ya jumatat amesema nasikitika sana mikoa karibia yote ya Tanzania bara hipo hapa inashiriki mashindano haya ya Taifa inakosa ata mzamini ambapo katika mkusanyiko huu watu wengi wanaweza kujitangaza karibia mikoa yote nchini kupitia mchezo huu.
Wadhamini wamekuwa wakigombania dhamini mchezo mmoja tu wa mpira wa miguu na kugombana kufaa jezi za mpinzani na mwingine kumwambia asivae jezi hizo lakini mbali na kupelekewa barua katika makampuni mbalimbali ya kuzamini mashindano makubwa ya mchezo huo mchini barua hizo zimekuwa zikiwekwa kapuni na kama Ufadhili basi upatikana mdogo ambao sio wa kutarajia nasikitika mpaka sasa mashindano yapoendelea akuna ata zawadi za mshindi ukiangalia mabondia wengi kutoka mikoani wamekuja kwa galama zao kwa kila kitu ikiwemo usafili maradhi na kazalika na kama timu hizo zikishinda awana kitu chochote cha kumbukumbu ya kuludi nayo mikoani mwao kwa ajili ya kuwaonesha wenzao waliokuwa wakiwaombea duwa kuwa mkoa wao ushindeInasikitisha sana nchi yenye lasilimali ya watu wengi wanashindwa kusaidia mchezo wa ngumi tena wa taifa bali wamekuwa wakitoa sapoti katika mambo mengine ambayo ayana ata mwelekeo ikiwemo michezo kazaa ambayo aina ata vyama ikiwemo mbio za Mbwa za mbuzi na kazalika michezo hiyo aina ata vyama inavyo visimamia lakini BFT walipepeka maombi mbalimbali ya kuwa kuna mashindano ya ngumi ya taifa makampuni yapatayo 30 na kukosa ufadhili wa aina yoyote ata maji ya kunywa akuna ambapo vijana wapandapo ulingoni utumia maji kila mwisho wa raundi.
Katibu Mkuu wa BFT Makore mashaga ambaye alijitolea kufatilia ufadhili katika makampuni 30 mbalimbali na kukosa ufadhili wa aina yoyote ile na kusababisha mashindano hayo kuendeshwa kwa ugumu.
Super D ambaye ni kocha wa timu ya mkoa wa kimichezo Ilala pamoja na viongozi wenzie wa mkoa uho wamekuwa wakiangaika uku na kule kutafuta ufadhili yapo mdogo kwa mabondia ukiwemo wa nauli za kujikimu kwa mabondia wa mkoa huo ambao unawakilishwa na mabondia watano wanaoishi sehemu mbalimbali za jiji la Dar es salaam na kukosa ufadhili-- Super D Boxing Coach

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...