Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Wednesday, January 1, 2014

MWAKA MPYA 2014 WAANZA KWA AJALI MBAYA IRINGA NI DAKIKA 20 BAADA YA MWAKA MPYA


Hii ni ajali mbaya ya  piki piki iliyotokea  eneo la  Ilala katika Manispaa ya  Iringa  ikiwa ni dakika 20 baada ya  kuaga mwaka  2013 na kuukaribisha  mwaka  2014 
Hawa ni majeruhi wa ajari hiyo kushoto ni dereva wa  boda boda JOseph Nyegele na kulia ni abiria  wake ambae hajitambui kabisa
Wasamaria  wema  wakisaidia  kushusha majeruhi ambao wamepata ajali ya pikipiki usiku  huu  wakati wakiuanga mwaka 2013 na kuukaribisha mwaka 2014  leo mjini Iringa

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...