Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, March 10, 2014

Ikulu yakana Rais kumtembelea mfungwa, yamtembelea Mkambara na wengine


D92A3630-1 (1)
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mtangazaji wa kituo cha Televisheni cha Channel Ten na Magic Radio FM Bwana Salum Mkambala aliyelazwa katika Taasisi ya Mifupa katika Hospitali ya Taifa muhimbili baada ya kuapata ajali na kujeruhiwa vibaya wiki iliyopita
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijulia hali Ofisa wa Habari tume ya Uchaguzi Bi.Margareth Chambiri aliyelazwa katika Tasisi ya MOI Hospitali ya Taifa Muhimbili.Bi.Chambiri aliwahi kufanya kazi katika Televisheni ya Taifa TBC.Picha na Freddy Maro-IKULU

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...