Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, March 10, 2014

KESI YA MBUNGE WA IRINGA MJINI (CHADEMA) YAAHIRISHWA MPAKA APRIL 9


picha kwa hisani ya mitandao ya kijamii.

Mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mh.PETER MSIGWA  kwa mara nyingine amefikishwa leo  katika mahakama  kuu ya mkoa , kufuatia tuhuma inayomkabili ya kufanya vurugu katika kampeni za uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata ya nduli manispaa ya iringa.

Tukio hilo limetoke tarehe 6 ya mwezi wa pili ambapo  SALUM  KEITA mjumbe wa kampeni hizo kupitia  chama cha mapinduzi alidai kufanyiwa vurugu na mbunge wa jimbo la iringa mjini kwa kumpiga.

Kesi hiyo imesomwa leo  katika mahakama ya wilaya ya Iringa mbele ya jaji   ALOYCE  MASUA na kesi hiyo imeahirishwa na kutajwa kusikilizwa
tarehe 9 ya mwezi wa 4 mwaka huu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...