Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Monday, April 28, 2014

EAST AFRICA MELODY KUWASHA MOTO MEI MOSI TRAVENTINE MAGOMENI MEI MOSI

Na Mwandishi wetu

BENDI ya taaarabu ya East African Melody  itatoa burudani katika ukumbi wa traventine Dar es salaam kwa ajili ya kusherekea siku kuu ya wafanyakazi Duniani Mei mosi

akizungumza onesho hilo muhandaaji wake Abbass Chezntemba 'Abbas  Chez' Cash Money' amethibitisha kufanyika onesho hilo ambali litakuwa la kihistoria jijini 

ambapo wasanii mbalimbali wamealikwa kushiriki kutoa burudani siku hiyoambayo imepewa jina la Usiku wa habiti za sauti za dhahabu ambapo watasindikizwa na ngwiji wa mziki wa dansi nchini

king kiki mzee sugu na kitambaa cheupe na Pr, Muhamed Issa  Matona,Rukia Ramadhani,Sabaha Muchacho, Hadija Yusuph ,Shakila Said, Ustadh Muhamed

na wasanii wengine wengi
kingilio kitakuwa ni  shilingi 7000 na 10,000 kwa watu watakaokaa V.I.P pia kutakuwa na zawadi kumi tofauti kwa ajili ya sikukuu hiyo itakayotolewa na Cash Money siku hiyo katika ukumbi wa traventine kwa watakaofika kuangalia onesho hilo

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...