Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Saturday, February 1, 2014

MKUTANO WA WADAU WA MASUMBWI LEO VIJANA KINONDONI


Kocha wa Kimataifa wa Mchezo wa masyumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akifatilia kwa makini mkutano wa Mabondia,mapromota na wadau mbalimbali wa mchezo wa masumbwi kulia ni bondia Sadiki Momba na Fabian Limo na mdau Maga kutoka Tegeta

Baadhi ya viongozi wakiwa meza kuu anae ongea ni Yasin Abdallah  kushoto ni Habibu Kinyogoli anaefati ni mwakilishi wa BMT Rais wa IBF Afrika Onesmo Ngoi na Lucas Retwainura

WADAU WALIOJITOKEZA KATIKA MKUTANO WA MASUMBWI



No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...